KERO YA FOLENI TUNDUMA SERIKALI YAJA NA MKAKATI HUU
Автор: Wizara ya Ujenzi
Загружено: 2025-12-14
Просмотров: 770
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza Wakala wa Barabara (TANROADS), kufanya tathmini ya kutanua barabara katika mpaka wa Tunduma unaopitisha magari yaendayo nchi jirani za Zambia na DR Congo ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo.
Ulega ametoa agizo hilo akiwa Tunduma mkoani Songwe na kueleza kuwa Serikali inatambua changamoto wanayopitia wasafirishaji na wananchi wa eneo hilo kutokana na msongamano wa malori kwa muda mrefu na kukwamisha matumizi ya barabara kwa watumiaji wengine.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: