Watu saba wafariki kwenye machafuko ya baada ya uchaguzi Uganda huku Museveni akiongoza
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-01-16
Просмотров: 18031
Watu saba wameripotiwa kuuwawa katika machafuko ya baada ya uchaguzi yaliyoshuhudiwa katika mkoa wa kati wa Uganda. Aidha kiongozi wa upinzani Bobi Wine amedai kuzuiliwa nyumbani kwake na maafisa wa usalama huku matokeo ya uchaguzi yakionyesha rais Museveni akiongoza kwa asimia 75% ya kura zilizohesabiwa.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: