Aliyekuwa Kiongozi wa Cuba Hayati Fidel Castro ziarani nchini Tanzania
Автор: Tulipotoka Zamani
Загружено: 2024-01-01
Просмотров: 6808
Aliyekuwa Kiongozi wa Cuba Fidel Castro akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar Es salaam kwa ajili ya kuanza Ziara rasmi ya kuitembelea Tanzania na kupokewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwalimu Julius Nyerere. Hii ilikuwa ni tarehe 19 Machi 1977.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: