Tulipotoka Zamani
Karibuni kwenye Channel inayowaletea matukio mbalimbali ya zamani kwa njia ya video.
Kijana mdogo Masudi Omari akiimba wimbo Goron ki na kalon ki mwaka 1988
Huyu mtoto anaitwa Nipa Nag na ndiye aliyeimba wimbo maarufu nchini Tanzania wa watoto.
Mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Msumbiji Samora Machel tarehe 28 Oktoba 1986.
Bendi ya Juwata Jazz Band wakiwa ndani ya Club Raha Leo Show ya RTD mwaka 1988.
Brigadia Mwita Marwa (Kamanda Kambale) wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Mzee Mwinamila na kundi lake la Hiari ya moyo wakiimba wimbo wao 'Mzushi na muongo'
Aliyekuwa Kiongozi wa kijeshi wa Liberia Masta Sajenti Samuel Doe akiwasili nchini Tanzania
Aliyekuwa Kiongozi wa Cuba Hayati Fidel Castro ziarani nchini Tanzania
Hayati Edward Moringe Sokoine
Mahafali ya 6 ya Chuo Kikuu cha Dar Es salaam, Mlimani mwaka 1976.
Kwaya ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) iliyoongozwa na Kapteni John Komba.
Zaita Musica na kisa cha kesi ya kanga
HARUSI YA IDI AMIN
ENUGU RANGERS vs YANGA
Dr. Eduardo Mondlane
ORCHESTRA SAFARI SOUND (DUKUDUKU) - MPENZI UMMY
SALIM AHMED SALIM
MISITU NI UHAI
Mbaraka Mwinshehe - Benki Yako
Orchestra Maquis du Zaire (Kamanyola) Part 2
Orchestra Maquis du Zaire (Kamanyola) Part 1
Orchestra Safari Sound (Masantula)
Orchestra Safari Sound (Masantula)
MBUYA MAKONGA AKIWA NA MAQUIZ DU ZAIRE
SUPREME MAESTRO FRED NDALA KASHEBA - YALAITI
King Kikii na OSS Masantula 1980