Bendi ya Juwata Jazz Band wakiwa ndani ya Club Raha Leo Show ya RTD mwaka 1988.
Автор: Tulipotoka Zamani
Загружено: 2024-02-04
Просмотров: 5375
Mtangazaji mashuhuri wakati huo Julius Nyaisanga maarufu kama Uncle J akiwatambulisha wanamuziki wa Bendi ya Juwata Jazz Band wakiwa na mtindo wao wa Msondo Ngoma kwenye kipindi cha Club Raha Leo Show mwaka 1988 ndani ya Redio Tanzania Dar Es salaam. Baada ya utambulisho huo wakaupiga Live wimbo wao mpya wakati huo ulioitwa Queen Kase.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: