Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 14/01/2026

Автор: KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH

Загружено: 2026-01-14

Просмотров: 4640

Описание:

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 14/01/2026

UJUMBE WA LEO:UNAFANYAJE KUNAPOKUWA NA TESO LA KUJIRUDIA RUDIA KWENYE LANGO LA FAMILIA

Esta 4:13-17

13 Naye Mordekai akawaagiza wampelekee Esta jibu la kusema, Wewe usijidhanie kuwa wewe utaokoka nyumbani mwa mfalme, zaidi ya Wayahudi wote.

14 Kwa maana wewe ukinyamaza kabisa wakati huu, ndipo kutakapowatokea Wayahudi msaada na wokovu kwa njia nyingine; ila wewe utaangamia pamoja na mlango wote wa baba yako; walakini ni nani ajuaye kama wewe hukuujia ufalme kwa ajili ya wakati kama huo?

15 Basi Esta akawatuma ili wamjibu Mordekai,

16 Uende ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Shushani, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie.

17 Basi Mordekai akaenda zake, akafanya yote kama vile Esta alivyomwagiza.

=} Mipango mingi ya kimaendeleo imefungwa ndani ya mzaliwa wa kwanza kama limbuko la familia maana yake ukimpiga mzaliwa wa kwanza umevuruga mipango yote au kuizuia kabisa.
Nimeona familia nyingi zikitaka kufanya maamuzi lazima mzaliwa wa kwanza ashirikishwe sasa inategemea uhuru wake.

Limbuko limebeba majira mapya ya FAMILIA (Mtu wa Saa hii)
Muda wa Israeli uliwahi kumtegemea Esta
Limbuko la Ufalme kwa Israeli Lilikuwa Sauli na Gharama ya muda wake ilitokea Kwa Daudi

=} Maombi haya hayakuwa ya kila mtu yalikuwa ya mtu na lengo la maombi haya ni kumrudisha kwenye nafasi

=} Maombi haya yakuwa yanabeba kila ajenda yalikuwa na agenda maalumu
Na agenda hiyo ni mtu arudi kwenye nafasi yake na aone umuhimu wa hiyo nafasi

=} Maombi haya yalikuwa yanamtafuta mtu ambaye ndani yake kumebeba uwokovu wa wengi ajue umuhimu wake na awe tayari kutumika kwa ajili ya Wengine

1) Tutubu kwa ajili ya uzembe uliofanyika na kuzimu imepata nafasi wazi ya kulishambulia Limbuko lenu .Uzembe umefanyika kwenye familia nyingi za Kikristo kuweka bidii na vipaumbele vinavyoandaa MALIMBUKO YASIO na Maarifa ya Kimungu

Kutoka 20 : 5 - 6
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.

(Rudi kwenye meza ya Majadiliano na Roho Mtakatifu angalia Maisha ya wazaliwa wa Kwanza wa Cheo kwenye Ukoo na familia yako yapoje kuanzia maisha ya kiroho na Kimwili Je una cha kuomba kwa mzigo ?

Isaya 1 : 18
18 Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.

Maeneo ya Kuangalia
=}Wanampenda Mungu kwa hiari yao wenyewe.
=}Wana hofu ya Mungu au ya wanadamu'
=}Ni mstari gani umechorwa kwenye lango la uzao usioruhusu Malango kwenda kwenye hatua ya pili kielimu , mahusiano, maisha ya Kiroho ,Kiuchumi nk.
=}Nini kinawabadilishia uelekeo hatua zao za kufanikiwa


Maovu yenu yameyageuza haya, na dhambi zenu zimewazuilia mema msiyapate.
Yeremia 5 :25

Kila Mmoja leo katika maombi haya ya Toba atatakiwa kuja na ripoti ya hali ya Kifamilia na vita zinazoandama lango la uzao kwenu hili Ombi la Lazima ili tuwe na Uwanja mpana wa kuomba

=} Maisha yao ya Kiroho (Maisha ya Kiibada kama kulikuwa na Ibada na imefungwa ndani ya muda wa mzaliwa wa kwanza maana yake adui akimpata mzaliwa wa kwanza amepata familia je ndani ya mzaliwa wenu wa kwanza unaona ibada)

=} Jifunze Kufunga Agano la Uhai na Mungu kwa Ajili ya Lango lenu la Mzaliwa wa Kwanza kila msimu mpya ili mipango yenu ikamilike kiwepesi

Agano langu naye lilikuwa agano la uhai na amani; nami nikampa ili aogope, naye akaniogopa, akalicha jina langu.
Malaki 2 : 5

Umenijazi uhai na upendeleo, Na maangalizi yako yameilinda roho yangu.
Ayubu 10 : 12

Atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;
1 Samweli 2 : 9

Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;
Zaburi 121 : 3

=} Jifunze kumdhabihu mzaliwa wenu wa kwanza Kwa Mungu Kila Mwanzo wa Msimu ili apitishe kile cha Mungu kwa ajili yenu na Yake

Ee Bwana, Mungu wa Ibrahimu, na wa Isaka, na wa Israeli, baba zetu, ulilinde jambo hili milele katika fikira za mawazo ya mioyo ya watu wako, ukaiongoze mioyo yao kwako;
1 Mambo ya Nyakati 29 : 18

Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.
Isaya 48 : 17


Mhubiri: Mwl.James Kamera

Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga
Simu: +255 713 553 443
YouTube: Kijitonyama Lutheran church
Barua Pepe : Kijitonyamalutheran@gmail.com

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 14/01/2026

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - FRIDAY PRAYERS 16/01/2026

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - FRIDAY PRAYERS 16/01/2026

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 16/01/2026

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 16/01/2026

WASIOYAJUA HAYA HUCHELEWA KUTOBOA | Ongeza Nguvu Yako Ya Kuzalisha! ! Dr. Eliona Kimaro

WASIOYAJUA HAYA HUCHELEWA KUTOBOA | Ongeza Nguvu Yako Ya Kuzalisha! ! Dr. Eliona Kimaro

PADRI KITIMA ashindwa kujizuia mbele ya waandishi wa habari alipua bomu jingine wakatoliki washangaa

PADRI KITIMA ashindwa kujizuia mbele ya waandishi wa habari alipua bomu jingine wakatoliki washangaa

DAY 3 SEMINA YA NENO NA MAOMBEZI NA MWL AMBWENE MWASONGWE

DAY 3 SEMINA YA NENO NA MAOMBEZI NA MWL AMBWENE MWASONGWE

TIẾNG GỌI LÒNG CHÚA THƯƠNG XÓT | 17/01/2026

TIẾNG GỌI LÒNG CHÚA THƯƠNG XÓT | 17/01/2026

JANUARY FASTING - KUHARIBU NGUVU ZA MAGONJWA YA KURITHI - DAY 17 - SAA 6:00 USIKU

JANUARY FASTING - KUHARIBU NGUVU ZA MAGONJWA YA KURITHI - DAY 17 - SAA 6:00 USIKU

JUMATANO YA MIUJIZA|| 14 JANUARI 2026

JUMATANO YA MIUJIZA|| 14 JANUARI 2026

Paul Clement ft Pastor Fred Msungu - Ahadi ( Official Video )

Paul Clement ft Pastor Fred Msungu - Ahadi ( Official Video )

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 15/01/2026

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 15/01/2026

SIKU YA TANO YA MAOMBI YA KUFUNGA 16/01/2026 by Innocent Morris

SIKU YA TANO YA MAOMBI YA KUFUNGA 16/01/2026 by Innocent Morris

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 15/01/2026

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 15/01/2026

ROSE MUHANDO ATANGAZA HADHARANI KUOLEWA KENYA/ KASEMA ASKOFU ANANIPENDA MBELE YA KANISA KENYA.......

ROSE MUHANDO ATANGAZA HADHARANI KUOLEWA KENYA/ KASEMA ASKOFU ANANIPENDA MBELE YA KANISA KENYA.......

KWA NEEMA HII UTAFANYA HATA YALE YASIYOWEZEKANA MWAKA HUU ! Rev. Eliona Kimaro (Part 1)

KWA NEEMA HII UTAFANYA HATA YALE YASIYOWEZEKANA MWAKA HUU ! Rev. Eliona Kimaro (Part 1)

Ombi Langu | My Desire | Thandez` Lami

Ombi Langu | My Desire | Thandez` Lami

AKAOMBA TENA MBINGU ZIKATOA MVUA | DAY XIV | PANA SAUTI YA MVUA TELE | Mwl.Emilian Katubayemo

AKAOMBA TENA MBINGU ZIKATOA MVUA | DAY XIV | PANA SAUTI YA MVUA TELE | Mwl.Emilian Katubayemo

🔴LIVE | SEMINA SIKU YA 2 | SOMO: LAANA ZA KUZIMU | 16 JAN 2026

🔴LIVE | SEMINA SIKU YA 2 | SOMO: LAANA ZA KUZIMU | 16 JAN 2026

LIVE 16TH - 17TH PRAYERS AND DECLARATION WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN WATCH.NOW

LIVE 16TH - 17TH PRAYERS AND DECLARATION WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN WATCH.NOW

Ufisadi wa familia ya Samia na Mume Wake Ameir na Abdul Walipuka Ikulu Tanzania:CCM kwisha

Ufisadi wa familia ya Samia na Mume Wake Ameir na Abdul Walipuka Ikulu Tanzania:CCM kwisha

"MABADILIKO YA NDANI" (INNER CHANGES) / REV. DR.ELIONA KIMARO

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: infodtube@gmail.com