Jinsi ya kutumia nguvu za kiroho (The choosen Ones)
Автор: Rakims Spiritual
Загружено: 2025-02-19
Просмотров: 5405
Group hii inafundisha majina ya Siri ya Mwenyezi Mungu
(THE CHOOSEN ONES) ambayo mtu anaweza kuyatumia kwa kufuata sheria zake na kupata chochote muda wowote anaohitaji kutambua zaidi soma katika link hii ili kupata mwanga;
Ada ya group hii ni 300,000TSH kwa mwanafunzi mmoja nayo ni kama kiingilio.
SHERIA ZA GROUP HIZI
Hii ni moja kati ya Group 4 za Rakims
Member pia wana nafasi ya kuingiza members wengine ambao ni wenye kuhitajia elimu hizi
Ukijiunga hapa tunatambua ni mtu mwenye akili timamu na utafuata Sheria zifuatazo;
1: Emojis zisizo na msingi katika ujumbe usiohusika hazitakiwi.
2: Mwanafunzi kulazimisha mjadala na Mwingine kwa ajili ya kulazimisha kupewa MASOMO yaliyopita haitakiwi.
3: Lugha za matusi na kashfa kwa mwanafunzi kwenda kwa mwalimu au mwanafunzi mwingine hazitakiwi.
4: Matangazo ya biashara na vitu vingine hayatakiwi.
5: Kutuma makala au vituko na hoja zingine zisizokuwa za kiroho haitakiwi.
6: Matangazo ya hali za watu binafsi na experience za watu binafsi katika vipindi vyao kama kufiwa, kuharibikiwa mahusiano, kuuguza mtu n.k ni vitu havitakiwi (Isipokuwa kwa mwenye kutaka maarifa ya kupambana na analopitia anaruhusiwa.
7: Ukihitaji kutoka kwenye group toka pole pole na sio kukashifu mwanafunzi mwingine au mwalimu.
8 :Ikitokea umekwazwa na mwanafunzi mwingine haijarishi ni wa maana kiasi gani katika group au ana hadhi gani report kwa mwalimu nae ataondoshwa kwenye group kwa ushahidi.
9: Kulazimisha kujuana na kutongozana hakuruhusiwi kwa wanafunzi wa group hii, Ikiwa ni pamoja na kuomba au kulilia shida wanafunzi wengine.
10: Ikiwa yoyote ataenda kinyume na hayo ataondolewa kwenye group na kuwekwa wazi machafu yake.
Rakims Spiritual.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: