Waaandamanaji DRC waishutumu Rwanda kwa kuunga mkono waasi
Автор: VOA Swahili
Загружено: 15 июн. 2022 г.
Просмотров: 9 604 просмотра
Maandamano makubwa yafanyika Goma, Kivu kaskazini waandamanaji wakiishutumu Rwanda kuunga mkono waasi wa M23.
-Uingereza imeendelea kusisitiza mpango wake wa kuwahamisha wahamiaji kwenda Rwanda wanaoomba
hifadhi nchini kwake leo licha ya pingamizi ya majaji wa Ulaya
- - - -
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.

Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: