Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

WAZIRI MBARAWA AKAGUA UJENZI WA MATANKI YA KUHIFADHI MAFUTA KIGAMBONI

Автор: Millard Ayo

Загружено: 2025-11-27

Просмотров: 2537

Описание:

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kutumia muda mwingi kusimamia mradi wa ujenzi wa matanki 15 ya mafuta yenye ujazo wa m³ 380,000.

Amesema kukamilika kwa mradi huo unajengwa kwa fedha za ndani Sh bilioni 703 kutaiwezesha Tanzania kuwa na mafuta ya kutosha pamoja na kuwa na uhakikia wa usalama wa mafuta kwa sababu yatakuwa yanahifadhiwa nchini.

Mbarawa alieleza hayo jana wakati alipofanya ziara kwenye mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhia mafuta uliopo Kigamboni Dar es Salaam ambao kwa sasa umefikia asilimia 33. 5.

"Mradi huu ukikamilika utapunguza gharama za maisha na mafuta na utaongeza ufanisi wa bandari kutelemsha mafuta kutoka siku saba hadi hadi chini ya nne," alisema Profesa Mbarawa.

Katika mradi huo matanki sita yatahifadhi mafuta ya dizeli,matano petroli,matenki matatu yatahifadhi mafuta ya ndenge na tenki moja litatumika kama njia ya kusafirishia mafuta kutoka tenki moja kwenda jingine.

Alisema mradi huo ulianza kutekelezwa Agosti mwaka 2024 na unatarajiwa kukamilika Agosti mwaka 2026.

Alieleza kuwa kwa sasa meli ikikaa nangani kila siku mwenye mafuta anachaji Sh milioni 57 kwa hiyo akikaa siku 20 ni karibu Sh milioni 500 gharama hizo hazibaki kwa anayeleta mafuta bali hata kwa watumiaji wa mafuta.

Alimshukuru Rais Samia kwa kuwa na maono ya kuanzisha na kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo ambayo itachochea uchumi wa nchi na kuleta unafuu wa gharama za maisha kwa Watanzania.

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania, Dk Baraka Mdima alisema kwa ujumla maendeleo ya mradi kwa sasa yanahusisha kukamilika kwa maandalizi ya awali.

Alisema maandalizi ya awali tayari na sasa mradi unaendelea huku akisema wanaendelea sehemu iliyobakia ili kukamilika kwa wakati ulio kwenye mkataba.

WAZIRI MBARAWA AKAGUA UJENZI WA MATANKI YA KUHIFADHI MAFUTA KIGAMBONI

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

RELI YA KUELEKEA BANDARINI  KUKAMILIKA HIVI KARIBUNI

RELI YA KUELEKEA BANDARINI KUKAMILIKA HIVI KARIBUNI

MAPINDUZI YA GUINEA BISSAU YAMUIBUA KAGAME RWANDA/SABABU VIJANA KUUNGA MKONO JUNTA AFRIKA MAGHARIBI

MAPINDUZI YA GUINEA BISSAU YAMUIBUA KAGAME RWANDA/SABABU VIJANA KUUNGA MKONO JUNTA AFRIKA MAGHARIBI

BENKI KUU YAFIKISHA TANI 15.37 ZA DHAHABU

BENKI KUU YAFIKISHA TANI 15.37 ZA DHAHABU

NYUMBANI KWA TAJIRI WA KUUZA MAGARI ALIYEACHA KAZI POLISI, ANATAJIRISHWA KWA MITANDAO

NYUMBANI KWA TAJIRI WA KUUZA MAGARI ALIYEACHA KAZI POLISI, ANATAJIRISHWA KWA MITANDAO

ENG. KASEKENYA AMTAKA MKANDARASI 'DODOMA OUTER RINGROAD'  KUONGEZA KASI,

ENG. KASEKENYA AMTAKA MKANDARASI 'DODOMA OUTER RINGROAD' KUONGEZA KASI, "PANDENI MITI" WAFIKIA 93%

РИДХИВАНИ хочет, чтобы его расследовали за владение LAKE OIL, и чтобы его вызвали на допрос в ком...

РИДХИВАНИ хочет, чтобы его расследовали за владение LAKE OIL, и чтобы его вызвали на допрос в ком...

EXCLUSIVE: KIJANA WA MIAKA 26 AWAZAWADIA WAZAZI NYUMBA YA ZAIDI YA MILIONI 100,

EXCLUSIVE: KIJANA WA MIAKA 26 AWAZAWADIA WAZAZI NYUMBA YA ZAIDI YA MILIONI 100, "SIJAWAHI KUAJIRIWA"

"WAKIMUONA HUYU MAMA WANASEMA RAIS ANAZURURA, RAIS HAWEZI, WANATUKANA" KIKWETE

🔴#Live: MWANACHUO ALIYEJIUA SIRI YAFICHUKA / SHEKH KASSIM -

🔴#Live: MWANACHUO ALIYEJIUA SIRI YAFICHUKA / SHEKH KASSIM - "WANAOVALIANA NGUO KUNA HATARI KUBWA"..

EXCLUSIVE: HARMONIZE AKETI TENA NA MILLARD AYO BAADA YA MIAKA 10, MAISHA, KUKATALIWA, MUZIKI -PART 1

EXCLUSIVE: HARMONIZE AKETI TENA NA MILLARD AYO BAADA YA MIAKA 10, MAISHA, KUKATALIWA, MUZIKI -PART 1

KIMEUMANA! CHADEMA WAPATA USHINDI MNONO, MNYIKA ATEMA CHECHE WALIOFUNGUA KESI, AIVAA SERIKALI

KIMEUMANA! CHADEMA WAPATA USHINDI MNONO, MNYIKA ATEMA CHECHE WALIOFUNGUA KESI, AIVAA SERIKALI

BUNGE LA ULAYA LAFANYA MAAMUZI MAGUMU KWA TANZANIA KUIPA MSAADA

BUNGE LA ULAYA LAFANYA MAAMUZI MAGUMU KWA TANZANIA KUIPA MSAADA

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

Kupili nowy dom. Niebywałe, co zastali po otwarciu drzwi

Kupili nowy dom. Niebywałe, co zastali po otwarciu drzwi

MAAMUZI YA TRUMP YAMEMDHOOFISHA ZELENSKY/URUSI ALIAMUA KUTUMIA NGUVU KWA SABABU UALAYA ILIZIDI HAPA

MAAMUZI YA TRUMP YAMEMDHOOFISHA ZELENSKY/URUSI ALIAMUA KUTUMIA NGUVU KWA SABABU UALAYA ILIZIDI HAPA

#LIVE: SATIVA ANAANIKA MAZITO MUDA HUU, KUTEKWA KWAKE MPAKA KUTUPWA KATIKATI YA WANYAMA WAKALI

#LIVE: SATIVA ANAANIKA MAZITO MUDA HUU, KUTEKWA KWAKE MPAKA KUTUPWA KATIKATI YA WANYAMA WAKALI

EXCLUSIVE: CHIDI BENZ AKAA NA MILLARD AYO, ASIMULIA YOTE

EXCLUSIVE: CHIDI BENZ AKAA NA MILLARD AYO, ASIMULIA YOTE "NILIKUWA NALIPWA 4M, WATU WANA ROHO MBAYA"

Нервный Путин ШОКИРОВАЛ после переговоров! СРОЧНО ПОКИНУЛ КРЕМЛЬ. Уже ясно, что готовит 27 НОЯБРЯ

Нервный Путин ШОКИРОВАЛ после переговоров! СРОЧНО ПОКИНУЛ КРЕМЛЬ. Уже ясно, что готовит 27 НОЯБРЯ

Алексей Венедиктов: «У меня нет выгоды. Я могу пойти на все». Разговор на фоне идеального шторма

Алексей Венедиктов: «У меня нет выгоды. Я могу пойти на все». Разговор на фоне идеального шторма

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]