Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TANZANIA T.I.A NA YA KUMI NA MOJA KWA KAMPASI YA KIGOMA-2025

Автор: Main FM Tanzania

Загружено: 2025-11-23

Просмотров: 125

Описание:

Novemba 21, 2025 mkoa wa Kigoma unashuhudia historia ikiandikwa katika Mahafali ya 23 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania T.I.A ambayo ni ya 11 katika Kampasi ya Kigoma na kwa mara ya kwanza yakifanyikia katika Majengo mapya ya Kampasi hii yaliyoko eneo la Kamara kata ya Mngonya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Takribani Wahitimu 757 kutoka ngazi tofauti tofauti katika mahafali haya wanatarajiwa kutunukiwa vyeti na mgeni rasmi katika mahafali haya ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma IGP Mstaafu Balozi Simon Nyakoro Sirro.

Ni mahafali ya Kihistoria huku Historia ya mahafali haya ikichagizwa na mahafali haya kufanyika kwa mara ya kwanza katika majengo mapya ya Kampasi hii yaliyoko eneo la Kamara kata ya Mngonya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Majengo haya ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa majengo ya kudumu ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Kampasi ya Kigoma ambao unagharimu takribani Tsh. Bilioni 11 Milioni 80 na Laki 7 Thelatini na Tano Elfu na 67 ambao mpaka hivi sasa umefikia 90% ya utekelezwaji wake.

Profesa William Palangyo ni Afisa Mtendaji mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na kupitia mahafali haya, hapa anaeleza sehemu ya mradi huu ulipofikia na sehemu ya majengo yanayopatikana katika mradi huu.....

Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Kampasi ya Kigoma imeendelea kujikita katika kutoa elimu kwa kuzingatia maendeleo ya soko la ajira pamoja na ujuzi stahiki......

Pamoja nayo pia imeendelea kujidhatiti katika kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wafanyabiashara wa Kigoma katika nyanja za Biashara, Rasilimali watu, Masoko na Uhasibu kama ambavyo anaeleza Profesa William Palangyo........

Mgeni rasmi katika mahafali haya Mkuu wa mkoa wa Kigoma IGP Mstaafu Balozi Simon Nyakoro Sirro ameipongeza Menejimenti ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kwa namna inavyosimamia utekelezwaji wa mradi huu, pamoja nayo ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kuridhia kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya utekelezwaji wa mradi huu wa maeneo ya kudumu ya TIA Kampasi ya Kigoma.

Akizungumza na Wahitimu Balozi Simon Sirro amewataka vijana kujibidiisha katika matumizi ya Teknolojia kuongeza ubunifu ili kukimbizana na kasi ya mabadiliko ya kidigitali yanayotokea ulimwenguni ikiwa ni pamoja na matumizi ya Akili Mnemba........

Kwa kuthibitisha ubora wa Elimu pamoja na ujuzi mbalimbali ambao unatolewa na Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kampasi ya Kigoma, Ezekiel Kasika huyu ni mwanafunzi shahada ya Manunuzi na Ugavi na hapa anaelezea namna Elimu aliyoipata kutoka Taasisi ya Uhasibu Tanzania TIA pamoja na ujuzi namna ilivyomsaidia kuja na ubunifu huu wa kubuni Website.....



SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉    / @mainfmtanzania  

KIGOMA========KASULU========UVINZA======BUHIGWE========KIBONDO==============BURUNDI================ ⚫️ WASILIANA NA MAIN FM RADIO : ( +255 677 775 533), ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    / @mainfmtanzania   ⚫️ MAKALA ZA KUSISISIMUA ⚫️ LIVE VIPINDI VYA RADIO:    / @mainfmtanzania   ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW:    • UTACHEKA MANENO YA SHOMBO YA SUDA YANGA | ...   ⚫️ SIKILIZA MAIN FM RADIO LIVE : https://mainfm.co.tz/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Tufollow

Instgram: https://www.instagram.com/mainfmtanza...

Facebook: https://www.facebook.com/watch/?v=168...

MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TANZANIA T.I.A NA YA KUMI NA MOJA KWA KAMPASI YA KIGOMA-2025

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

HUU NDIO MUONEKANO WA CHUO KIPYA CHA TIA CAMPUS YA KIGOMA, BILION 11.7 KUTUMIKA

HUU NDIO MUONEKANO WA CHUO KIPYA CHA TIA CAMPUS YA KIGOMA, BILION 11.7 KUTUMIKA

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...DESEMBA 09,  2025

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...DESEMBA 09, 2025

ANGALIA NAMNA HIFADHI YA TAIFA MILIMA MAHALE INAVYOFIKIKA KWA BARABARA, IDADI YA WATALII YAONGEZEKA

ANGALIA NAMNA HIFADHI YA TAIFA MILIMA MAHALE INAVYOFIKIKA KWA BARABARA, IDADI YA WATALII YAONGEZEKA

BARABARA YA MALAGARASI - UVINZA KUKAMILIKA MACHI 2025, UJENZI WAKE NI WAFIKA ZAIDI YA ASILIMIA 50%

BARABARA YA MALAGARASI - UVINZA KUKAMILIKA MACHI 2025, UJENZI WAKE NI WAFIKA ZAIDI YA ASILIMIA 50%

WAHITIMU TIA SINGIDA WATAKIWA KUKUMBATIA TEKNOLOJIA

WAHITIMU TIA SINGIDA WATAKIWA KUKUMBATIA TEKNOLOJIA

WAZIRI KITILA AKABIDHI HATI KWA MWEKEZAJI | ATOA VIGEZO VITANO | UWEKEZAJI HUU UTATOA AJIRA

WAZIRI KITILA AKABIDHI HATI KWA MWEKEZAJI | ATOA VIGEZO VITANO | UWEKEZAJI HUU UTATOA AJIRA

MAHAFALI YA 49 YA CHUO CHA MAJI DARESALAAM. MAANDAMANO YA MAASKARI MLIMANI CITY | GRADUATION

MAHAFALI YA 49 YA CHUO CHA MAJI DARESALAAM. MAANDAMANO YA MAASKARI MLIMANI CITY | GRADUATION

Collation des Grades 2025 UNILUK–ISTM-L–ISTA-L : Dimanche 14 Octobre, Proclamation des résultats.

Collation des Grades 2025 UNILUK–ISTM-L–ISTA-L : Dimanche 14 Octobre, Proclamation des résultats.

🔴#Live: SIKU MPYA|| MTANZANIA KUTOKA KIGOMA ALIYESIMAMISHA DUNIA || 15 DEC 2025

🔴#Live: SIKU MPYA|| MTANZANIA KUTOKA KIGOMA ALIYESIMAMISHA DUNIA || 15 DEC 2025

ZIARA YA MAKAMU WA RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MKOANI KIGOMA

ZIARA YA MAKAMU WA RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MKOANI KIGOMA

BODYBUILDERS VS CLEANER  | Anatoly GYM PRANK #56

BODYBUILDERS VS CLEANER | Anatoly GYM PRANK #56

Я проигнорировал западные СМИ и отправился в Буркина-Фасо 🇧🇫

Я проигнорировал западные СМИ и отправился в Буркина-Фасо 🇧🇫

#live🔴MUHIMBILI WAFANYA JAMBO HILI KIGOMA/UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI KAMPASI YA KIGOMA.

#live🔴MUHIMBILI WAFANYA JAMBO HILI KIGOMA/UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI KAMPASI YA KIGOMA.

Шум в ушах уходит без таблеток: секрет советских врачей

Шум в ушах уходит без таблеток: секрет советских врачей

Express Republiki 15.12.2025 | TV Republika

Express Republiki 15.12.2025 | TV Republika

MADIWANI KAKONKO WAPOKELEWA KATIKA UKUMBI MPYA WA KIMATAIFA

MADIWANI KAKONKO WAPOKELEWA KATIKA UKUMBI MPYA WA KIMATAIFA

RC ATEMBELEA BANDARI YA MTWARA

RC ATEMBELEA BANDARI YA MTWARA

ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU MAHAFALI YA 18 YA CHUO KIKUU CHA KIKATOLIKI MWENGE (MWECAU) - MOSHI

ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU MAHAFALI YA 18 YA CHUO KIKUU CHA KIKATOLIKI MWENGE (MWECAU) - MOSHI

Мухаммед Али против Ивана Драго! Этот Бой не Забыть...

Мухаммед Али против Ивана Драго! Этот Бой не Забыть...

🇺🇸 Променяли Америку на 120 овец в России 🐑 | РУССКАЯ ОЗВУЧКА

🇺🇸 Променяли Америку на 120 овец в России 🐑 | РУССКАЯ ОЗВУЧКА

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]