Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Kware akamatwa
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2024-07-15
Просмотров: 194675
Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Kware amekamatwa na anazuiliwa katika makao makuu ya DCI Nairobi. Mshukiwa huyo alikamatwa katika nyumba moja huko kware akiwa na kadi kadhaa za simu.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: