Women Matters (1): Wasichana wasimulia mateso waliyopata Uarabuni walikoenda kufanya kazi za ndani
Автор: Simulizi Na Sauti
Загружено: 2019-09-08
Просмотров: 135183
Kwenye episode hii ya #WomenMatters, Lillian Mwasha anazungumza na Maimuna na Zawadi wanaosimulia mateso waliyopitia walipoenda Uarabuni kufanya kazi za ndani kupitia mawakala ambao hupeleka wasichana huko. Pia amealikwa mwanasheria/wakili maarufu nchini, Albert Msando
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: