Mfalme wa Amani Mpeni Heshima Lyrics| Njia ya Matawi/ Palm Sunday • Full Media
Автор: Full Media
Загружено: 2025-04-12
Просмотров: 1333
Mfalwa Amani
Mfalme wa amani mpeni heshima,
Yerusalem mjini anaingia
Na unyenyekeo na upole mkuu
Anapanda punda Mwana wa Mungu.
Hosana juu, hosana Juu, hosana juu.
Njooni Mahebruni, njooni watoto,
Leteni matawi ya kumsalimu.
Mwana wa Daudi kweli Masiya
Anakuja kwenu mwenye huruma.
Tandikeni nguo miguuni pake,
Imbeni zaburi, shangilieni.
Mbarikiwa huyu ajaye kwetu
Kwa Jina la Bwana Mkombozi mkuu.
Ufurahi sana, we` Yerusalem
Yule wamwabudu roho za mbingu.
Na huruma pale anakujia,
Haki na amani akuletea.
Ndimi za wachanga zafumbulia,
Kwa mwujiza sifa yake Masiya
Na makundi yote ya malaika
Sifa na heshima wanamtolea.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: