Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

Profesa Kabudi: Niliandika barua ya kujiuzulu lakini ilichanwa

Автор: CHAMPION HABARI

Загружено: 2020-01-24

Просмотров: 77705

Описание:

Waziri wa Mambo ya Nje nchini Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuna wakati aliandika barua ya kujiuzulu lakini alinyang’anywa na ikachanwa.

Mbunge huyo wa kuteuliwa na Rais ameeleza hayo leo Ijumaa Januari 24, 2020 Ikulu jijini Dar es Salaam katika hafla ya utiaji saini makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na kamati ya madini ya Barrick.

Kabudi anasema alichukua uamuzi wa kuandika barua hiyo baada ya mchakato wa majadiliano na wajumbe wa Barrick kuwa magumu, kwamba aliona aibu kushindwa kazi aliyotumwa.

Amemtaja aliyemnyang’anya barua hiyo ambayo haikuifafanua kwa kina ni Kasmir Simbakuki.

“Nilifikia hatua nikafanya dhambi ya kukata tamaa nikasema jambo hili haliwezekani, niliona ni bora aibu na fedheha hiyo niibebe lakini barua niliyoandika sikufanikiwa kuileta.”

Profesa Kabudi: Niliandika barua ya kujiuzulu lakini ilichanwa

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

“NASEMA KAMWE HATUTAPIGA MAGOTI, TUMEONA VIHOJA VYAO”-WAZIRI KABUDI

“NASEMA KAMWE HATUTAPIGA MAGOTI, TUMEONA VIHOJA VYAO”-WAZIRI KABUDI

Prof. Palamagamba Kabudi Amwaga Madini Bungeni

Prof. Palamagamba Kabudi Amwaga Madini Bungeni

MAHOJIANO MAALUM | Rais Mstaafu Kikwete amzungumzia Hayati Raila Odinga | Tanzania imepoteza rafiki

MAHOJIANO MAALUM | Rais Mstaafu Kikwete amzungumzia Hayati Raila Odinga | Tanzania imepoteza rafiki

MTOTO WA HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE AELEZA JINSI BABA YAKE ALIVYOWARUHUSU WALINZI WAKE PUMZIKA

MTOTO WA HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE AELEZA JINSI BABA YAKE ALIVYOWARUHUSU WALINZI WAKE PUMZIKA

Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda

Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda

Kikwete Ahutubia Bunge nchini Kenya

Kikwete Ahutubia Bunge nchini Kenya

URAIA PACHA TANZANIA

URAIA PACHA TANZANIA

KABUDI AWAACHA HOI IKULU AKIMSHUKURU JPM KWA KUMPA UWAZIRI

KABUDI AWAACHA HOI IKULU AKIMSHUKURU JPM KWA KUMPA UWAZIRI "ULINITOA JALALANI KUNIWEKA MEZA KUU"

MTIFUANO wa WAANDISHI vs WAZIRI MKUU: KWA NINI MNAFICHA MAITI? KABURI la HALAIKI? - TUMEZIKA NGUO..

MTIFUANO wa WAANDISHI vs WAZIRI MKUU: KWA NINI MNAFICHA MAITI? KABURI la HALAIKI? - TUMEZIKA NGUO..

Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI -

Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"

"KABUDI NA MPANGO NIMEWATUKANA PUMBAVU SANA JAPO WANANIZIDI UMRI" RAIS MAGUFULI

Ifahamu historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Ifahamu historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Palamagamba Kabudi: A united Kenya means a united East Africa

Palamagamba Kabudi: A united Kenya means a united East Africa

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE

PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE

SABABU Za MAGUFULI KUTOHUDHURIA Mkutano Wa UN, Prof KABUDI AELEZEA!

SABABU Za MAGUFULI KUTOHUDHURIA Mkutano Wa UN, Prof KABUDI AELEZEA!

PROF KABUDI ATAJA VIFUNGU VYA BIBLIA AKIAPISHWA IKULU DODOMA

PROF KABUDI ATAJA VIFUNGU VYA BIBLIA AKIAPISHWA IKULU DODOMA

WAZIRI KABUDI AFUNGUKA TUSIYOYAJUA KUHUSU MUUNGANO

WAZIRI KABUDI AFUNGUKA TUSIYOYAJUA KUHUSU MUUNGANO "NI MATOKEO YA UBEBERU, SULTAN ALILIPWA"

NONDO ZA MZEE WARIOBA MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU HAYATI SOKOINE

NONDO ZA MZEE WARIOBA MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU HAYATI SOKOINE

WAANDISHI WA HABARI WAMKABIA JUU WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NA MASWALI MAGUMU

WAANDISHI WA HABARI WAMKABIA JUU WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NA MASWALI MAGUMU "MNAFICHA NINI?"

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]