Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia

Автор: Mwananchi Digital

Загружено: 2024-06-03

Просмотров: 70369

Описание:

Spika w Bunge, Dk Tulia Ackson ameielekeza Serikali ikafanyie kazi madai ya mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka kwamba Serikali imepanga kuchukua vijiji 80 vya wafugaji wa Simajiro na vijiji vingine kadhaa vya wafugaji wa maeneo mingine kwa ajili ya hifadhi ya wanyamapori.

Hayo yametoke bungeni leo Jumatatu ya Juni 3, 2024 wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo Spika alitoa maelekezo hayo baada ya maelekezo yake ya kwanza ya kumtuma Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) anayeshughulikia Elimu, Zainabu Katimba kumtafuta Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota ili aeleze kama aliandika barua hiyo.

“Nimepokea barua hapa kutoka kwa mheshimiwa Ole Sendeka hii barua imeandikwa na mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota (amekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro toka Agosti 2021).

“Mheshimiwa Naibu Waziri wa Tamisemi huyu bado ni mkurugenzi wa Simanjiro (sauti zikasikika ndiyo). Mheshimiwa Naibu Waziri hebu nenda hapo nje mpigie simu kuhusu hii barua.

Barua imeandikwa kwa ofisa mtednaji Kijiji cha olcholoni tarehe 16 tathmini ya maeneo yenye wanyamapori katika mapori ya Simanjiro na Berela na Simanjiro Kitiangare. Mkurugenzi akaseme aliandika hiyo barua au hapana.”

Tazama zaidi.

Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

'MSIWAGOMBANISHE WAMASAI AU WAFUGAJI NA SERIKALI YA MAMA SAMIA ''OLESENDEKA MBUNGE

'MSIWAGOMBANISHE WAMASAI AU WAFUGAJI NA SERIKALI YA MAMA SAMIA ''OLESENDEKA MBUNGE

Taarifa zataka kumchanganya Mbunge Lekishon hadi akaomba kiti cha Spika kiingilie kati

Taarifa zataka kumchanganya Mbunge Lekishon hadi akaomba kiti cha Spika kiingilie kati

Это простое изобретение может изменить всё! Отличный инструмент для самостоятельного изготовления в

Это простое изобретение может изменить всё! Отличный инструмент для самостоятельного изготовления в

⚡️СРОЧНО! ЮНУС: Удар по ИРАНУ за 24 часа! ТРАМП поднял войска! Кремль в панике!

⚡️СРОЧНО! ЮНУС: Удар по ИРАНУ за 24 часа! ТРАМП поднял войска! Кремль в панике!

Сварщик изобрел замок без ключа! Это простое изобретение может изменить всё.

Сварщик изобрел замок без ключа! Это простое изобретение может изменить всё.

RIDHIWANI KIKWETE Amwambia MZEE OLE SENDEKA -

RIDHIWANI KIKWETE Amwambia MZEE OLE SENDEKA - "WEWE na BABA ni MARAFIKI, Kwanini Mmekuwa WAONGO?

"SITAKI KUBISHANA NA WEWE" - OLE SENDEKA AMWAMBIA SPIKA TULIA BILA KUPEPESA, MVUTANO MKALI WATOKEA..

Dkt Steven Kiruswa aungana na Ole lenku katika harambee ya ujenzi wa ofisi ya malaigwanani Simanjiro

Dkt Steven Kiruswa aungana na Ole lenku katika harambee ya ujenzi wa ofisi ya malaigwanani Simanjiro

SIKU 12 ZA MOTO, ZIARA YA MBUNGE WA JIMBO LA SIMANJIRO CHRISTOPHER OLESENDEKA {SIMBA WA SIMANJIRO}

SIKU 12 ZA MOTO, ZIARA YA MBUNGE WA JIMBO LA SIMANJIRO CHRISTOPHER OLESENDEKA {SIMBA WA SIMANJIRO}

Qamoqdagi sudyalar va Solovyovning “sayrashi” | Hafta dayjesti

Qamoqdagi sudyalar va Solovyovning “sayrashi” | Hafta dayjesti

Msumuma  amvaa aliyewahi kuwa Waziri

Msumuma amvaa aliyewahi kuwa Waziri "Usiingie kwenye 18 zangu" Ang'aka

OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!

OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!

Лучшая речь Жириновского!

Лучшая речь Жириновского!

MAMA JASIRI AJILIPUA MBELE YA WAZIRI MKUU, SHERIA INAUZWA LAKI 5, KUNA WATU WAPO JUU YA SHERIA..

MAMA JASIRI AJILIPUA MBELE YA WAZIRI MKUU, SHERIA INAUZWA LAKI 5, KUNA WATU WAPO JUU YA SHERIA..

OLE SENDEKA AMCHONGEA RC SENDIGA BUNGENI 'SIWEZI KUMPIGIA MAGOTI/HATUSALIMIANI'

OLE SENDEKA AMCHONGEA RC SENDIGA BUNGENI 'SIWEZI KUMPIGIA MAGOTI/HATUSALIMIANI'

SPIKA TULIA AFOKEA WAZUNGU ULAYA “NIHESHIMUNI MIMI SIYO MUNGU”

SPIKA TULIA AFOKEA WAZUNGU ULAYA “NIHESHIMUNI MIMI SIYO MUNGU”

DUH! Mbunge wa Ngorongoro amgomea Kikwete bungeni |

DUH! Mbunge wa Ngorongoro amgomea Kikwete bungeni | "Anaongopa anavuruga | Hajui anachokiongea"

KWAYA YA FURAHINI Olekayanga Awaliza watu kwa wimbo wao maalum wengine kupandisha mori

KWAYA YA FURAHINI Olekayanga Awaliza watu kwa wimbo wao maalum wengine kupandisha mori

HAPATOSHI BUNGENI MPINA NA BASHE | HIZI NI DAKIKA 21 ZA MJADALA MKALI |

HAPATOSHI BUNGENI MPINA NA BASHE | HIZI NI DAKIKA 21 ZA MJADALA MKALI | "MPINA ULETE USHAHIDI"

MKURUGENZI ATETEMEKA KWA UOGA

MKURUGENZI ATETEMEKA KWA UOGA "NAOMBA UNISAMEHE RAIS SITO RUDIA TENA ‘’

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: infodtube@gmail.com