Utamu wa kuangalia Bandari ya Tanga kutoka Juu kwa DRONE
Автор: KAHITILA 255
Загружено: 2023-04-01
Просмотров: 454
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anayesimamia Sekta ya Uchukuzi Atupele Mwakibete ameagiza Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)kuhakikisha wanakamailisha Ujenzi wa Miundombinu ya Reli katika Bandari ya Tanga.
Mwakibete amesema hayo wakati akikagua Ujenzi wa Miundombinu Mbalimbali katika Bandari ya Tanga na kusema kuwa Ujenzi wa Bandari hiyo umefika asilimia 98 ya ujenzi wake, lakini bado miundombinu ya Reli haijajengwa bandarini hapo.
Mhandisi wa Miradi kutoka TPA makao makuu, Hamisi Mbutu amesema kuwa Ujenzi wa Gati katika Bandari hiyo umefikia Asilimilia 98.9 na Meli kubwa zimeshaanza kuhudumiwa katika gati hizo.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: