SWALI- #2 =JE. MWANAMKE AMERUHUSIWA KUWA MCHUNGAJI..? Jibu la roho mtakatifu ni hili / 1Timoteo-2;12
Автор: UNYAKUO TV.
Загружено: 2021-10-17
Просмотров: 851
YOTE UNAYOSKIA KATIKA CHANNEL HII NI AMINI NA KWELI,
MAOMBI YANAFANYIKA KWA WALIO MBALI. Kwa majina yao wanao okolewa.
👉 YEREMIA- 23 (23)
KARIBU KATIKA CHANNEL HII.. utapata kujifunza na kujua mengi kuhusu Mungu,
mithali -8(4-5) matendo-13(41) 1yohana-5(7)
WHAT'S APP. +255686448880
EMAIL: [email protected]
FACEBOOK PAGE: Prophet Boniface
MIMI NI NABII WA MUNGU.
BONIFACE. VICTOR
👉ZABURI- 4 (2-4)
Mwisho wa dunia ni mwaka
2673.21
UFUNUO-14 (2-3) YESU KABRA YA KUJA MARA YA TATU KUANGAMIZA DUNIA YOTE ATAMTUMA MALAIKA WAKE.kuhubili injili dunia nzima.
kama alivyomtuma yohana kabla ya kuja kwake .( Yohana-1 : 6-7)
Kama alivyo muagiza Nuhu kabla hajaangamiza ulimwengu wote.
(Mwanzo- 6 : 13 na Mwanzo- 7 : 1-4)
Kama alivyo muambia ibrahimu kabla hajaiangamiza sodoma na gomola.
(Mwanzo- 18 : 17-24)
Kama alivyo mtuma malaika kumuambia maria na yusufu kua watapata mtoto
(Luka- 1 : 30-32)
Na kuja kwake mara ya pili amenituma mimi mtumishi wake kuwapa habali ya mwisho wa ulimwengu wote.na unyakuo
(Isaya- 42 : 9)
SOMA VIZURI BIBLIA UTAELEWA KUJA KWA MWANA WA ADAMU MUHURI WA 6 NI KUJA KWA YESU TENA MARA YA PILI. ITACHUKUA MIAKA 7. UTAFUNGULIWA MUHURI WA 7 KWA MAPIGO 7 KWA WALIOBAKI ULIMWENGUNI.UFUNUO 14-18/ UFUNUO 6 :(14)
MATHAYO- 24:29 -30
29 Lakini mara, baada ya dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka mbinguni, na nguvu za mbinguni zitatikisika;
30 ndipo itakapoonekana ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote ya ulimwengu watakapoomboleza, nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi.
UFUNUO - 6:12-13
12 Nami nikaona, alipoifungua muhuri ya sita, palikuwa na tetemeko kuu la nchi; jua likawa jeusi kama gunia la singa, mwezi wote ukawa kama damu,
13 na nyota zikaanguka juu ya nchi kama vile mtini upukutishavyo mapooza yake, utikiswapo na upepo mwingi.
HIZI NI HABARI ZA KWELI,KWA DUNIA NZIMA. SASA MUHURI WA NNE UMEFUNGULIWA. WATU LAZIMA WAUAWE .CHUKIZO LA UHARIBIFU LIMEANZA
UFUNUO- 6: 7-8
7 Na alipoifungua muhuri ya nne, nikasikia sauti ya yule mwenye uhai wa nne akisema, Njoo!
8 Nikaona, na tazama, farasi wa rangi ya kijivujivu, na yeye aliyempanda jina lake ni Mauti, na Kuzimu akafuatana naye. Nao wakapewa mamlaka juu ya robo ya nchi, waue kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni na kwa hayawani wa nchi.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: