SAKATA NGORONGORO BADO NGOMA NZITO: WAZIRI MKUU ALIVALIA NJUGA, AAHIDI KUKUTANA NA WANANCHI..
Автор: Global TV Online
Загружено: 2022-02-14
Просмотров: 10992
SAKATA NGORONGORO BADO NGOMA NZITO: WAZIRI MKUU ALIVALIA NJUGA, AAHIDI KUKUTANA NA WANANCHI..
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inaangalia utaratibu utakaofaa kuhusu suala la uhifadhi katika eneo la Loliondo lililopo kwenye wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha.
"Katika mjadala wetu wa leo, mmetoa maoni nasi tumeyapokea. Bado Serikali inayaangalia maslahi mapana ya umma. Tutawashirikisha pia ni lipi lina maslahi mapana kwa Watanzania."
Ametoa kauli hiyo leo (Jumatatu, Februari 14, 2022) wakati akizungumza na wadau wa uhifadhi kwenye kikao kilichofanyika Wasso-Loliondo. Amesema Serikali imepokea maoni waliyoyatoa, yatayojumuishwa na kuyawasilishwa kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: [email protected] OR [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: