MWENYE DEGREE 9 ACHUKUA FOMU YA USPIKA, NI MTUMISHI WA SERIKALI
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2022-01-11
Просмотров: 103139
Mchakato wa kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Uspika umeendelea leo January 11 ambapo miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu hizo makao makuu ya CCM Dodoma ni Prof. Handley Mpoki Mafwenga ambaye ni mtumishi wa Serikali
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: