Familia Pwani zalilia haki ya mauaji ya jamaa zao
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-01-19
Просмотров: 347
Familia ambazo jamaa zao wanadaiwa kuuwawa na maafisa wa polisi wameilamu mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa polisi IPOA kwa kile wanachosema ni kupuuza uchunguzi wa visa hivyo vya mauaji haswa katika eneo la Pwani.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: