Riverside: Bryson Mwamburi alikamatwa Dusit D2 akidhaniwa kuwa ni gaidi Kenya
Автор: BBC News Swahili
Загружено: 2019-01-18
Просмотров: 44418
Bryson Mwamburi ni muathiriwa wa shambulizi la kigaidi lililotekelezwa katika hoteli ya Dusit D2 siku ya Jumanne jijini Nairobi.
Hata baada ya kuepuka kufyatuliwa risasi na mshambuliaji mmoja, alikamatwa na maafisa wa polisi kama mshukiwa.
Je nini kilichofuatia? #Riversideattack #DusitD2 #NairobiAttack
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: