Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

ACT wairudisha hatima ya GNU mikononi mwa wanachama

Автор: Gumzo la Ghassani

Загружено: 2022-11-15

Просмотров: 4971

Описание:

Kufuatia hatua ya Rais Hussein Mwinyi kumteuwa na kumuapisha Thabit Faina kuwa tena Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi licha ya upinzani wa ACT Wazalendo, chama hicho kimeamuwa kulirejesha kwa wanachama Wale suala la kuamua kusalia au kutoka kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar. Nini maoni yako?

Soma tamko lao hapa 👇🏿👇🏿👇🏿

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kamati Maalum ya Kamati Kuu ya Chama cha ACT WAZALENDO upande wa Zanzibar imekutana leo tarehe 15 Novemba, 2022 katika Ofisi Kuu ya Makao Makuu ya Chama, Vuga, Zanzibar chini ya Uenyekiti wa Makamo Mwenyekiti wa ACT Wazalendo (Zanzibar) Ndugu Othman Masoud Othman.

Kikao hicho cha dharura kimeitishwa kujadili hali ya kisiasa Zanzibar kutokana na taharuki ya kisiasa iliyoibuka kufuatia uteuzi wa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa ZEC Ndugu Thabit Idarous Faina ambaye ndiye aliyesimamia Uchaguzi Mkuu wa 2020 uliosababisha mauaji na maafa makubwa katika nchi. Uteuzi huo ukiambatana na matukio mengine yasiyoridhisha katika kipindi cha miaka miwili iliopita umesababisha Wazanzibari kupoteza imani na kutilia shaka uwepo wa dhamira njema na nia ya dhati ya kujenga maridhiano ya kweli na umoja wa kitaifa kama ilivyokuwa imeahidiwa.

Kamati Maalum ya Kamati Kuu ya Chama upande wa Zanzibar baada ya kupokea taarifa iliyowasilishwa imeielekeza Sekretarieti ya Chama upande wa Zanzibar kuratibu vikao vya ndani vya viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama kusikiliza na kutoa maelekezo yao juu ya mustakabali wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa na hali ya kisiasa Zanzibar.

Kamati Maalum imesisitiza kwamba vikao hivyo vya ndani vya kusikiliza maoni ni utekelezaji wa ahadi ya uongozi wa Chama Taifa ya kusikiliza maoni na tathmini ya Wanachama baada ya Miaka miwili ya ujenzi wa Maridhiano na Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Kamati Maalum imeagiza ripoti ya vikao hivyo iwasilishwe kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya Chama.

Salim A. Bimani,
Katibu wa Habari, Uenezi, Mawasiliano na Umma,
ACT-Wazalendo
15/11/2022

ACT wairudisha hatima ya GNU mikononi mwa wanachama

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

Rais Mwinyi amjibu Ali Karume, amwambia anaongea upuuzi tu, uchaguzi  ulikuwa huru na wazi

Rais Mwinyi amjibu Ali Karume, amwambia anaongea upuuzi tu, uchaguzi ulikuwa huru na wazi

ACT WAZALENDO YAMJIBU MONALISA KUHUSU LUHAGA MPINA/ AMEJIUNGA ACT KITAMBO SANA/  MCHINJITA AFUNGUKA

ACT WAZALENDO YAMJIBU MONALISA KUHUSU LUHAGA MPINA/ AMEJIUNGA ACT KITAMBO SANA/ MCHINJITA AFUNGUKA

RAIS MAGUFULI AFICHUA SIRI KUHUSU DK. HUSSEIN MWINYI

RAIS MAGUFULI AFICHUA SIRI KUHUSU DK. HUSSEIN MWINYI "SIJWAHI KUWAPA HII SIRI"

Kesi za ACT zaanza kuunguruma mahakamani | GUMZO LA LEO

Kesi za ACT zaanza kuunguruma mahakamani | GUMZO LA LEO

Kauli ya OMO kwa watu wa Nungwi leo | GUMZO LA LEO

Kauli ya OMO kwa watu wa Nungwi leo | GUMZO LA LEO

MAANDAMANO YA WAFUASI WA ACT WAZALENDO, WAPINGA UTEUZI WA MGOMBEA UBUNGE “SIO HALALI”

MAANDAMANO YA WAFUASI WA ACT WAZALENDO, WAPINGA UTEUZI WA MGOMBEA UBUNGE “SIO HALALI”

KIGOGO WA ACT WAZALENDO APINGA MPINA KUGOMBEA URAIS, ADAI KANUNI ZIMEKIUKWA “SITUMIKI NA YEYOTE”

KIGOGO WA ACT WAZALENDO APINGA MPINA KUGOMBEA URAIS, ADAI KANUNI ZIMEKIUKWA “SITUMIKI NA YEYOTE”

VIDEO TAZAMA RAIS MWINYI ALIVYOINGIA ZEC KUCHUKUA FOMU YA URAIS WA ZANZIBAR

VIDEO TAZAMA RAIS MWINYI ALIVYOINGIA ZEC KUCHUKUA FOMU YA URAIS WA ZANZIBAR

Zanzibar iliitwa Andalusia ya Afrika kutokana na heshima ya watu wake - OMO | GUMZO UPDATES

Zanzibar iliitwa Andalusia ya Afrika kutokana na heshima ya watu wake - OMO | GUMZO UPDATES

RAIS MWINYI KATIKA DUA YA KUIOMBEA NCHI PEMBA

RAIS MWINYI KATIKA DUA YA KUIOMBEA NCHI PEMBA

A-Z: MWANASHERIA MKUU ACT WAZALENDO ACHAFUA HALI YA HEWA MPINA KUZUIWA TUME YA UCHAGUZI N..

A-Z: MWANASHERIA MKUU ACT WAZALENDO ACHAFUA HALI YA HEWA MPINA KUZUIWA TUME YA UCHAGUZI N..

Майк Тайсон против Двойника Али! Кончилось плохо...

Майк Тайсон против Двойника Али! Кончилось плохо...

ujenzi wa chuo chuo cha ubaharia kinachotarajiwa kuanzoshwa zanznibar

ujenzi wa chuo chuo cha ubaharia kinachotarajiwa kuanzoshwa zanznibar

Mwanzo Mwisho Rais Dk Hussein Mwinyi Alivyolihutubia Baraza la Wawakilishi Leo

Mwanzo Mwisho Rais Dk Hussein Mwinyi Alivyolihutubia Baraza la Wawakilishi Leo

Hawataki Umoja wa Kitaifa, Hawataki Maridhiano | TAHARIRI YA GUMZO

Hawataki Umoja wa Kitaifa, Hawataki Maridhiano | TAHARIRI YA GUMZO

Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Masoud Othman Ajibu Madai Kuwa ACT Wazalendo ni Project

Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Masoud Othman Ajibu Madai Kuwa ACT Wazalendo ni Project

Османская империя за 17 минут

Османская империя за 17 минут

ACT WAZALENDO YATOA KAULI KURA YA MAPEMA

ACT WAZALENDO YATOA KAULI KURA YA MAPEMA

Mambo yanayofanyika hudhani waliojipa madaraka ni Waislamu | GUMZO LA LEO

Mambo yanayofanyika hudhani waliojipa madaraka ni Waislamu | GUMZO LA LEO

🔴#LIVE: MWANASHERIA MKUU WA ACT WAZALENDO ANAZUNGUMZA MPINA KUZUIWA TUME YA UCHAGUZI

🔴#LIVE: MWANASHERIA MKUU WA ACT WAZALENDO ANAZUNGUMZA MPINA KUZUIWA TUME YA UCHAGUZI

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]