Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

Je Muwasho ktk Ujauzito huwa ni Dalili ya nini? | Mambo gani ya kufanya ili kuondokana na muwasho?

Автор: Dr. Mwanyika

Загружено: 2021-03-07

Просмотров: 69544

Описание:

Mambo yanayopelekea kupata Muwasho katika Ujauzito wako ni kama ya fuatayo;

Mimba inaweza kusababisha ukapata Muwasho kutokana na sababu kuu mbili;

1. Mabadiliko ya Homoni wakati Ujauzito.

2. Ongezeko la Tumbo wakati wa Ujauzito hususani kwenye Mimba ya kwanza au Mimba ya Mapacha.

Pamoja na hizo sababu lakini kuna Makundi makuu matatu yanayopelekea kupata Muwasho wa ngozi katika Ujauzito ambayo ni.


A. Kundi la kwanza ni Mtindo wa Maisha ya Mjamzito kama.

I. Kuvaa Nguo zinazobana ktk kipindi cha Ujauzito.

II. Kuvaa Nguo zisizo tengenezwa na Pamba.

III. Kuoga Maji ya Moto.

IV. Kutumia Sabuni na Perfume zinazo pelekea muwasho katika Ujauzito.

V.Ngozi ya Tumbo kukauka na kuvutika.

NB:Endapo una dalili tajwa hapo juu na unatabia hizo tajwa unachotakiwa kufanya ni kuchana na tabia hatarishi na pia unaweza kutumia MAFUTA YA NAZI AU CALAMINE LOTION.

B.Kundi la pili ni kuhusiana na Magonjwa ya Ngozi katka Ujauzito!
Mfano: Pruritic Urticaria Papules na Plaques vile Prurigo, hapa unahitaji kuonana na Daktari Bingwa wa Ngozi.

C. Endapo upo katika Kundi hili la tatu ni hatari sana unahitaji kuonana na Daktari bingwa na kutazamwa kwa Ujirani zaidi kwa sababu huweza kuathiri Afya ya Mtoto na Mama pia hii ni kutokana na shida iitwayo Intrahepatic Cholestasis of Pregnancy (ICP). Katika kundi hili Mama huwa na dalili zifuatazo.

Kuwashwa kwenye viganja vya Mikono au Miguuni.
Muwasho huwa zaidi kipindi cha jioni/usiku.
Kuwa na historia ya kuwa na dalili hizo katika baadhi ya ndugu katika ukoo husika.
Kupata Choo cheupe.
Kupata Mkojo mweusi na nk.

NB; Uonapo dalili hizo wahi hospital kuonana na Daktari.

Je muwasho ktk Ujauzito husababishwa na nini? Bonyeza link hii ili kujifunza zaidi    • Je Muwasho ktk Ujauzito huwa ni Dalili ya ...  


Mtoto huanza kucheza tumboni mwa Mama Mjamzito miezi mingapi??? Bonyeza link hii ili kujifunza zaidi
   • Mtoto huanza kucheza tumboni mwa Mama Mjam...  

Ufanye nini ili kuondokana na upungufu wa Damu katka kipindi cha Ujauzito??. Bonyeza link hapa.
   • Ufanye nini ili uondokane na Upungufu wa D...  

Je Mjamzito hujifungua wiki ya ngapi na wakati gani Uchungu huweza kuanza na salama zaidi?
Bonyeza link hii kusikiliza.
   • Mama mjamzito anaweza kujifungua kuanzia w...  


NB: Ukitaka kujifunza zaidi ni fuatilie YouTube kwa jina la Dr.Mwanyika au bonyeza link hapo 👇👇👇👇
   / drmwanyika  


Ukiwa unamaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube).

Subscribe,Comment and Share

JapideAfya_Services
Your Health is Our Health
Instagram as @JapideAfya_Services
Facebook page as @JapideAfya_Services
©Dr.Mwanyika.

#MamaAfya
#Muwasho
#DrMwanyika

Je Muwasho ktk Ujauzito huwa ni Dalili ya nini? | Mambo gani ya kufanya ili kuondokana na muwasho?

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

Je Dalili ZA Mimba Ya Wiki 31 AU Miezi 7 NA Wiki 3 Zipi? | Dalili ZA Miezi 3 Ya Mwishoni!!

Je Dalili ZA Mimba Ya Wiki 31 AU Miezi 7 NA Wiki 3 Zipi? | Dalili ZA Miezi 3 Ya Mwishoni!!

Hizi ni Dalili za Kujifungua za Mwanzoni kwa Mjamzito! | Je Dalili za mwanzoni za Uchungu ni zipi?

Hizi ni Dalili za Kujifungua za Mwanzoni kwa Mjamzito! | Je Dalili za mwanzoni za Uchungu ni zipi?

Ukiona Dalili hizi jua unakaribia Jifungua,Jiandae - Dr Baiya Kissiwa

Ukiona Dalili hizi jua unakaribia Jifungua,Jiandae - Dr Baiya Kissiwa

Dalili hizi za uchungu zikitokea Mama huyu atajifungua muda si mrefu

Dalili hizi za uchungu zikitokea Mama huyu atajifungua muda si mrefu

Dalili za Mimba changa. Zifahamu dalili 10 za uhakika za #mimba changa

Dalili za Mimba changa. Zifahamu dalili 10 za uhakika za #mimba changa

Je Matunda Ya Kula Mjamzito Ni Yapi? (Matunda 20 Muhimu Kwa Mjamzito)

Je Matunda Ya Kula Mjamzito Ni Yapi? (Matunda 20 Muhimu Kwa Mjamzito)

Mtoto kucheza tumboni | Ni sababu zipi hupelekea Mtoto kutocheza au kuacha kucheza tumboni??

Mtoto kucheza tumboni | Ni sababu zipi hupelekea Mtoto kutocheza au kuacha kucheza tumboni??

JE CHOO CHEUSI KWA MJAMZITO HUASHIRIA NINI? | JE KWA NINI MJAMZITO HUPATA CHOO CHEUSI KTK UJAUZITO?.

JE CHOO CHEUSI KWA MJAMZITO HUASHIRIA NINI? | JE KWA NINI MJAMZITO HUPATA CHOO CHEUSI KTK UJAUZITO?.

Dalili ZA Mimba Changa Ya Mapacha Ya Miezi 2 AU Wiki 8 Kwa Mjamzito| Mimba Ya Mapacha Ya Wiki 8

Dalili ZA Mimba Changa Ya Mapacha Ya Miezi 2 AU Wiki 8 Kwa Mjamzito| Mimba Ya Mapacha Ya Wiki 8

Fangasi za ukeni wakati wa Ujauzito | Dalili na Mambo ya kujua kuhusiana na fangasi katika Ujauzito!

Fangasi za ukeni wakati wa Ujauzito | Dalili na Mambo ya kujua kuhusiana na fangasi katika Ujauzito!

Wiki Ya 40 Hakuna Uchungu Fanya Mambo Haya!! | Mimba Ya Wiki 40 AU Zaidi!

Wiki Ya 40 Hakuna Uchungu Fanya Mambo Haya!! | Mimba Ya Wiki 40 AU Zaidi!

Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi? (Kulalia Kulia Ktk Ujuazito Ni Sawa AU Lah?).

Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi? (Kulalia Kulia Ktk Ujuazito Ni Sawa AU Lah?).

Je ni Mambo gani hupelekea Mistari /Michirizi katika Tumbo la Mjamzito katika kipindi Cha Ujauzito?

Je ni Mambo gani hupelekea Mistari /Michirizi katika Tumbo la Mjamzito katika kipindi Cha Ujauzito?

Je Kuharisha Kwa Mjamzito Husababishwa NA Nini??(Sababu 8 ZA Kuharisha Ktk Kipindi Cha Ujauzito)!.

Je Kuharisha Kwa Mjamzito Husababishwa NA Nini??(Sababu 8 ZA Kuharisha Ktk Kipindi Cha Ujauzito)!.

Je Dalili Za Mimba Ya Wiki 36/ Miezi 9 ni Zipi? ( Dalili 12 Mimba Ya Wiki 36)!

Je Dalili Za Mimba Ya Wiki 36/ Miezi 9 ni Zipi? ( Dalili 12 Mimba Ya Wiki 36)!

Je Muwasho WA Mwili Kwa Mjamzito Hutokana NA Nini? (Muwasho WA Viganja Vya Mikono NA Soli ZA Miguu)

Je Muwasho WA Mwili Kwa Mjamzito Hutokana NA Nini? (Muwasho WA Viganja Vya Mikono NA Soli ZA Miguu)

Mtoto kucheza chini ya Kitovu ktk Tumbo la Mjamzito ina maanisha Nini? | Je ni Dalili ya hatari??.

Mtoto kucheza chini ya Kitovu ktk Tumbo la Mjamzito ina maanisha Nini? | Je ni Dalili ya hatari??.

MJ:IL:S01:E03: ‘Nilishauriwa ninywe majani chai ili niavye mimba,’ – Caroline Chagaya

MJ:IL:S01:E03: ‘Nilishauriwa ninywe majani chai ili niavye mimba,’ – Caroline Chagaya

Je Dalili ZA Mtoto Kugeuka Tumboni Mwa Mjamzito NI Zipi? (Dalili 5 ZA Mtoto Kugeuka Ktk Ujauzito)!

Je Dalili ZA Mtoto Kugeuka Tumboni Mwa Mjamzito NI Zipi? (Dalili 5 ZA Mtoto Kugeuka Ktk Ujauzito)!

Mambo 15 Ya Kuzingatia Kabla Ya Kubeba Mimba/Ujauzito 2026 Kwa Mama Yoyote!

Mambo 15 Ya Kuzingatia Kabla Ya Kubeba Mimba/Ujauzito 2026 Kwa Mama Yoyote!

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: infodtube@gmail.com