Waokaji mikate nchini Ivory Coast waanza kutumia mihogo kama mbadala wa ngano
Автор: Mwanzo TV
Загружено: 2022-09-11
Просмотров: 288
Huku bei ya ngano ikichochewa kupanda kutokana na vita nchini #Ukraine, waokaji mikate katika jimbo la #Afrika Magharibi la #IvoryCoast wanaanza kutumia unga wa #muhogo unaozalishwa nchini humo kuoka #mkate.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: