🇹🇿 RAIS SAMIA AAGIZA BARABARA ZA MWANZA MJINI - USAGARA NA MWANZA MJINI - IGOMA KUJENGWA KWA NJIA 4
Автор: Wizara ya Ujenzi
Загружено: 2023-11-17
Просмотров: 9080
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Ujenzi kufanya Usanifu wa kina wa barabara za Mwanza Mjini hadi Round about ya Usagara na barabara ya Mwanza Mjini hadi Igoma ili zipewe kipaumbele katika bajeti ya Mwaka wa fedha 2024/25 kwa ajili ya kujenga barabara ya njia nne.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: