Bei ya samaki yashuka Kiunga, Lamu kutokana na Changamoto za usafiri
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2024-08-19
Просмотров: 2093
Wavuvi wa Kiunga eneo lililoko Mpakani mwa KENYA NA Somalia kaunti ya Lamu wanalazimika kuuuza samaki wao hadi shilling 100 kwa kilo kutokana na Changamoto za usafiri.Hii ni baada ya barabara ya Kiunga kwenda Hindi kufungwa kutokana na tishio la ugaidi.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: