Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
dTub
Скачать

ASKOFU JOHN MAGUGE ATOA WITO MAANDALIZI YA HUKUMU YA MWISHO KATIKA UFUNGUZI WA NYUMBA YA IBADA KYUU

Автор: UMOJA DAIMA MEDIA

Загружено: 2025-11-16

Просмотров: 871

Описание:

Askofu John Maguge wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mkoani Mara ametoa mahubiri yenye kufundisha kuhusu umuhimu wa waumini kujiandaa kwa Hukumu ya Mwisho, akisisitiza kuwa hukumu ya Mungu si jambo jepesi na si sawa na hukumu za kibinadamu tunazozizoea hapa duniani.

Akihubiri katika ibada ya ufunguzi wa nyumba ya ibada ya Usharika wa Kyuu, Jimbo la Hai, Askofu Maguge amesema waumini wanapaswa kuishi maisha ya kutubu na kusema ukweli mbele za Mungu, kwa kuwa tofauti na duniani, ambapo anakiri kosa kunamweka mtu hatarini, mbele za Mungu toba humletea msamaha.

Ibada hiyo imeongozwa na Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini, Askofu Dkt. Fredrick Onael Shoo, akishirikiana na Msaidizi wake Mch. Deogratius Msanya, Mkuu wa Jimbo la Hai Mch. Biniel Malyo, pamoja na Mch. Emilly Peter Haishi, mchungaji kiongozi wa Usharika wa Kyuu.

Katika mafundisho yake, Askofu Maguge amesisitiza kuwa Mungu hutazama ukweli wa moyo wa mtu, na kwamba hukumu ya Mungu si ya muda bali ni ya milele. Ameonya kwamba baadhi ya waumini hudhani uwepo wao kanisani unawapa haki, ilhali ndani yao bado hawajafanya toba ya kweli.

Akinukuu mifano ya biblia kama wa Anania na Safira, Askofu Maguge alionya dhidi ya udanganyifu na majivuno, akisema mfano huo unaonyesha jinsi Mungu anavyochukia uongo na mioyo isiyo na toba.

Aidha, akifananisha hukumu ya mwisho na mvuvi anayeuchambua wavu baada ya kuvua, Askofu Maguge alisema siku ya mwisho Mungu atawatenganisha wenye haki na waovu kama samaki wazuri na wabaya.

Amehimiza waumini kutubu kila mara na kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.

“Mungu hana shida na dhambi zako, shida yake ni kutokutubu kwetu,” amesisitiza.

Askofu Maguge amewakumbusha waamini kuwa hawajui siku wala saa ya kuja kwa Bwana, hivyo wahakikishe wanaishi Maisha ya toba ya kudumu, pasipo uoga wala kiburi cha kiroho.

Amewahimiza kushika Neno la Mungu na kulitendea kazi, akiwataka waumini kutumia nafasi wanayopewa sasa kwa ajili ya kutubu ili siku ya hukumu wapate kusamehewa.

ASKOFU JOHN MAGUGE ATOA WITO  MAANDALIZI YA HUKUMU YA MWISHO KATIKA UFUNGUZI WA NYUMBA YA IBADA KYUU

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео mp4

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио mp3

Похожие видео

ASKOFU SHOO ATOA UJUMBE WA MATUMAINI KATIKA IBADA YA KUSTAAFU MCHUNGAJI UFOO SWAI

ASKOFU SHOO ATOA UJUMBE WA MATUMAINI KATIKA IBADA YA KUSTAAFU MCHUNGAJI UFOO SWAI

ASKOFU SHOO AFUNGUA NYUMBA YA IBADA KWARE, AHIMIZA MOYO WA KUTOA NA UMOJA KANISANI

ASKOFU SHOO AFUNGUA NYUMBA YA IBADA KWARE, AHIMIZA MOYO WA KUTOA NA UMOJA KANISANI

Wakili Mwabukusi afichua mauaji ya Gen Z yalivyopangwa muda sana na CCM wakati wa kampeini

Wakili Mwabukusi afichua mauaji ya Gen Z yalivyopangwa muda sana na CCM wakati wa kampeini

Пастор Альфеус Шайо с честью уходит на пенсию после 34 лет служения.

Пастор Альфеус Шайо с честью уходит на пенсию после 34 лет служения.

Ask.Dkt.Stanley Hotay ( Mahubiri)

Ask.Dkt.Stanley Hotay ( Mahubiri)

ASKOFU SHOO ATOA WITO WA KUIMARISHA NDOA ZA WATUMISHI WA KANISA

ASKOFU SHOO ATOA WITO WA KUIMARISHA NDOA ZA WATUMISHI WA KANISA

HII NDIO SABABU YA DOTTO BITEKO KUACHWA KWENYE UWAZIRI.

HII NDIO SABABU YA DOTTO BITEKO KUACHWA KWENYE UWAZIRI.

Shangwe na Nderemo zasikika KKKT Dayosisi ya Kaskazini JKK Usharika wa Kiboriloni

Shangwe na Nderemo zasikika KKKT Dayosisi ya Kaskazini JKK Usharika wa Kiboriloni

MATUKIO MATATU MAKUBWA YALIYOIBUA HISIA ZA WANAJIMBO LA KILIMANJARO KATI  NA BABA ASK. DR. F. SHOO

MATUKIO MATATU MAKUBWA YALIYOIBUA HISIA ZA WANAJIMBO LA KILIMANJARO KATI NA BABA ASK. DR. F. SHOO

#LIVE: IBADA YA UBARIKIO WA WACHUNGAJI KKKT DKMG KANISA KUU BUKOBA

#LIVE: IBADA YA UBARIKIO WA WACHUNGAJI KKKT DKMG KANISA KUU BUKOBA

IBADA MAALUM YA KUFUNGA SHUGHULI ZA OFISI KUU KKKT DK KWA MAPUMZIKO MAFUPI YA KRISMASI

IBADA MAALUM YA KUFUNGA SHUGHULI ZA OFISI KUU KKKT DK KWA MAPUMZIKO MAFUPI YA KRISMASI

KWA UCHUNGU MKUBWA MCH.MAGEMBE ASIMULIA ALIVYONUSURIKA KULITHISHWA MIKOBA YA UCHAWI WA UKOO

KWA UCHUNGU MKUBWA MCH.MAGEMBE ASIMULIA ALIVYONUSURIKA KULITHISHWA MIKOBA YA UCHAWI WA UKOO

DKT SLAA ASHANGAZA TAIFA BILA UOGA WOWOTE AZUNGUMZA MAZITO SANA

DKT SLAA ASHANGAZA TAIFA BILA UOGA WOWOTE AZUNGUMZA MAZITO SANA

Askofu Mkuu Ruwa'ichi ampongeza Mtunzi wa wimbo

Askofu Mkuu Ruwa'ichi ampongeza Mtunzi wa wimbo "MKATOLIKI" Aamuru Kwaya irudie kuimba Wimbo huo.

Шесть богословов, удостоенных чести быть пасторами в городе Моши.

Шесть богословов, удостоенных чести быть пасторами в городе Моши.

USHARIKA WA KIDIA WATEMBELEA USHARIKA WA MSITU WA TEMBO KWA NJIA YA  INJILI YA VITENDO

USHARIKA WA KIDIA WATEMBELEA USHARIKA WA MSITU WA TEMBO KWA NJIA YA INJILI YA VITENDO

⚡️ Поражение на условиях Путина? || Резкий разворот по сделке

⚡️ Поражение на условиях Путина? || Резкий разворот по сделке

TAZAMA JINSI WACHAWI WANAVYOFANYA KAZI HADHARANI KUZUIA MIPANGO | Visa Vya Kweli - - Na Mch. Kimaro

TAZAMA JINSI WACHAWI WANAVYOFANYA KAZI HADHARANI KUZUIA MIPANGO | Visa Vya Kweli - - Na Mch. Kimaro

"SIWEZI KUMTETEA MNYAMA HUYO KWA HOFU YA KUKAMATWA AU KUUWAWA," ALISEMA ASKOFU NKWANDE.

MBINU 21 ZA SHETANI KUMUANGUSHA MKRISTO KUPITIA MABRIGEDIA 6 HATARI WA KUZIMU|Mch.Amiel Katekela

MBINU 21 ZA SHETANI KUMUANGUSHA MKRISTO KUPITIA MABRIGEDIA 6 HATARI WA KUZIMU|Mch.Amiel Katekela

© 2025 dtub. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]