TANGA UWASA - MRADI WA HATI FUNGANI KUONGEZA TABASAMU TANGA
Автор: Tanga TV Online
Загружено: 2025-12-24
Просмотров: 74
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Tanga Uwasa inatekeleza mradi mkubwa wa kuboresha miundimbinu ya maji wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 53 unaojulikana kama Mradi wa Hati Fungani.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa usambazaji maji na usafi wa Mazingira mhandisi Salumu Ngumbi wakati akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya ziara ya wanahabari hao wa Jijini Tanga kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini iliyolenga kuijifunza namna mamlaka hiyo inavyoendesha shughuli zake pamoja na kutekeleza miradi mbalimbali yenye tija kwa wananchi.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: