RAIS SAMIA AMEBORESHA HUDUMA ZA TIBA NA KINGA NCHINI.
Автор: Wizara ya Afya Tanzania
Загружено: 2024-03-15
Просмотров: 79
Mkurugenzi wa Huduma za Tiba kitoka Wizara ya Afya Prof. Pascal Ruggajo akiwa pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za kinga Dkt. Tumaini Haonga wakizungumzia mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uboreshaji huduma za Tiba na Kinga nchini.
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео mp4
-
Информация по загрузке: