7T7 MINISTRY
7t7 Ministries ni taasisi ya kidini ya kibinafsi iliyoanzishwa kwa madhumuni ya kueneza injili kupitia Mitandao ya kijamii katika kizazi hiki cha teknolojia.
Maono: Kugusa kila nafsi katika mitandao ya kijamii na kuwaelekeza kwa Yesu
Dhamira: Tunatumia rasilimali tulizobarikiwa na Mungu kwa wakati huu ili kugusa binadamu na kuwaongoza vyema hadi Kalvari kwa kueneza injili kwenye mitandao ya kijamii na kugusa mahitaji ya kiroho kwa Kila mtumiaji wa mitandao ya kijamii.
Je, ni halali kutafsiri au kutumia biblia iliyotafsiriwa?
Hivi ndio vipindi 5 ambavyo biblia imepitia tokea kuandikwa kwake
Friedrich: Mtu aliyeipinga biblia na kugeuka chizi
Njiani huniongoza. Nyimbo za Kristo No:155
Hii ndio nafasi ya Mungu Baba katika Utatu Mtakatifu
kuelewa Utatu mtakatifu kwa njia rahisi
Profesa aifafanua biblia kwa namna ya kuvutia
Habari Za Usiku. Nyimbo za Kristo No:77
Msingi Imara, Ninyi Wa Bwana. Nyimbo zza Kristo No:75
Niambie ee mlinzi. Nyimbo za Kristo No:74
Bwana uniongoze juu. Nyimbo za Kristo No:73
The Guilty Boy's Journey to Redemption: A Story of Forgiveness and Freedom
Kurasini SDA Choir vol 3 (full album)
Nitakwenda utakaponituma. Nyimbo za Kristo No:60
Usijidharau. Hii ndio thamani yako halisi. Hadithi fupi yenye funzo
Fanyeni kazi zenu. Nyimbo za Kristo No:59
Mzee huyu alinunua mchoro kwa 20,000/= tu na akawa tajiri hapo hapo. Hii ni faida ya kumchagua Yesu.
Usikatae kazi. Nyimbo za Kristo No:57
Jifunze kutenda mema: Malipo ni hapa hapa duniani
Nataka nimjue Yesu. Nyimbo za Kristo No:54
Nini kingetokea kama huyu mtu angeisikiliza sauti ya Mungu?
Ijue Siri ya upendo wa Mungu. Unaweza kumfanyia hivi mwanao?
Hii ndio hasara ya kumkataa Mungu. Hadithi ya kijana aliyemweka Mungu kwenye buti la gari
Mungu nawe nanyi daima. Nyimbo za Kristo No:50
Hii ndio faida ya kuishi pamoja na Mungu. Hadithi ya kijana aliyeendesha gari kwenye mvua kubwa
Miguuni pake Yesu. Nyimbo za Kristo No:46
Mungu hutumia maumivu yetu kuonesha uweza wake. Hadithi ya Mkulima aliyemiliki ndoo mbovu
Mungu anaweza kutumia njia rahisi kama hii kukuokoa. Hadithi ya askari aliyeokolewa na buibui.
Wapenzi Wa Bwana (Twenenda Zayuni) Nyimbo za Kristo No:70
Majaribu, mateso na maumivu yasikufanye kuwa dhaifu