Kiswahili na Mwalimu Ogello
Kipindi hiki kitawawezesha wanafunzi na wapenzi wa lugha ya Kiswahili, kufurahia na kujifunza Kiswahili kwa starehe zao bila bugdha wowote.Imepeperushwa kwa mfululizo wa kipekee na kwa lugha nathari kwa kuzingatia silabasi ya Shule ya upili kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne.Pia itawasaidia walimu kufunza kiswahili kwa uweledi kwani ni malighafi wa kupigwa mifano.
Lesson 70: Kiswahili Maswali na Majibu (Episode4)/Question and Answers/Kiswahili Revision/KCSE 102/2
Lesson 69: Kiswahili Maswali Na Majibu (episode3)/Question & Answers paper 2
Lesson 68: Kiswahili question and answers (episode 2)/Maswali na majibu/KCSE Revision questions/pp2
Lesson 67: Maswali na Majibu (Episode 1)/KCSE Revision questions and answers/Kiswahili grammar quiz
Lesson 66: Nguu za Jadi: Maudhui ya Ubabedume/Taasubi za Kiume
Lesson 65: Isimujamii: Sifa Za Sajili ya Bungeni/Lugha ya Wanabunge/Sifa za lugha na za kimtindo
How to score "A" grade in Kiswahili/How to pass Kiswahili/KCSE Kiswahili/Learn Kiswahili online
Lesson 64: Isimujamii: Sifa Za Sajili ya Kisiasa/Lugha ya Wanasiasa
Lesson 63: Isimujamii: Sajili ya Hospitalini/ya Matibabu/ya Zahanatini/Sifa za lugha ya Hospitalini
Lesson 62: Isimujamii:Sajili ya dini/Maabadini/sifa za kimtindo na za lugha
Lesson 61: KUNDI NOMINO (KN)/KISWAHILI NOUN CLASSES
Lesson 60: Nguu za Jadi: Uchambuzi wa jalada/maana ya nguu
Lesson 59: Isimujamii:Dhima/Umuhimu/Kazi/Jukumu ya lugha katika jamii
Lesson 58: Isimujamii: Kaida/Kanuni/Sheria za lugha/Mambo yanayodhibiti matumizi ya lugha ktk jamii
Lesson 57: Isimujamii: Sifa za lugha
Lesson 56: Nafsineni/Nafsinenewa/Mishororo Mishata/Toshelevu/Kifu/Toshelezi/Muwala/Migogoro/Dhamira
Lesson 55: Ushairi: Mbinu za Kimtindo na za Lugha katika Ushairi/Tamathali za usemi katika ushairi
Lesson 54: Ushairi: Aina za Taswira katika ushairi (mguso,oni,mwendo,hisi,mwonjo,sikivu n.k)
Lesson 53: Ushairi: Urudiaji/Takriri, Ujumbe na Mafunzo/Maadili katika shairi
Lesson 52: Ushairi: Mtazamo na Falsafa ya mshairi, Lugha Nathari/ Tutumbi/ya Mjazo/Lugha Sufufu
Lesson 51: Ushairi: Muundo na Umbo la Shairi
Lesson 50: Ushairi: Usambamba/Toni/Usimulizi/Ritifaa /Litifati/Anafora/Kifahiwati/Kiusawe
Lesson 49: Ushairi: Uhuru/Idhini/Ukiukaji wa sarufi/Kibali cha Mshairi/Malenga
Lesson 48: Ushairi: Bahari/Aina/Mikondo ya mashairi (episode2)
Lesson 47: Ushairi: Bahari/Aina/Mikondo ya mashairi (episode1)
Lesson 46: Ushairi: Arudhi na huru/Sifa za shairi ya Kimapokeo
Lesson 45: Bembea ya Maisha: Umuhimu wa wahusika katika ujenzi wa ploti/msuko
Lesson 44: Bembea ya Maisha: Dhamira ya Mwandishi
Lesson 43: Bembea ya Maisha: Kutwazwa na Kutwezwa kwa mwanamke
Lesson 42: Bembea ya Maisha: Maudhui ya Uwajibikaji